dcsimg

Madende ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Madende ni ndege wa jenasi Cichladusa katika familia ya Muscicapidae. Zamani waliainishwa katika familia ya mikesha (Turdidae). Wana mnasaba na kurumbiza na wanafanana nao. Wana rangi ya kahawa mgongoni na nyeupe chini; madende madoadoa ana madoa meusi kidarini na tumboni. Hawa ni ndege wa misitu mikavu ya Afrika. Madume ya spishi hizi waimba vizuri. Hula wadudu hasa. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika au chini ya kichaka. Jike huyataga mayai 2-4.

Spishi

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Madende: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Madende ni ndege wa jenasi Cichladusa katika familia ya Muscicapidae. Zamani waliainishwa katika familia ya mikesha (Turdidae). Wana mnasaba na kurumbiza na wanafanana nao. Wana rangi ya kahawa mgongoni na nyeupe chini; madende madoadoa ana madoa meusi kidarini na tumboni. Hawa ni ndege wa misitu mikavu ya Afrika. Madume ya spishi hizi waimba vizuri. Hula wadudu hasa. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika au chini ya kichaka. Jike huyataga mayai 2-4.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri