Wadudu mdomo-ndani ni arithropodi wadogo walio na mnasaba na wadudu wa kweli. Ngeli hii ina oda tatu: wadudu mkia-fyatuo (Collembola), wadudu mikia-miwili (Diplura) na wadudu mkia-sahili (Protura). Kama wadudu wa kweli wadudu hawa wana miguu sita lakini hawana mabawa na vipande vya mdomo viko ndani ya mfuko maalum katika kichwa. Kila pingili ya vipapasio ina misuli (kwa wadudu wa kweli pingili mbili za kwanza tu zina misuli). Madume hawaweki shahawa yao katika jike lakini huiweka katika kibumba juu ya aina ya kikonyo (spermatofori) ambacho jike hukiingiza katika ufunguzi wa uzazi wake akikubali. Majike wana kiungo cha kutaga mayai. Spishi nyingi hazina macho, lakini kuna spishi za Collembola ambazo zina macho madogo yasiyo na zaidi ya omatidio nane.
Tangu mwaka 2005 wanasayansi wameanza kushuku usahihi wa ngeli hii. Malinganisho ya ADN yanadokeza kwamba Collembola (wadudu mkia-fyatuo), Diplura (wadudu mikia-miwili) na Protura (wadudu mkia-sahili) hawana mnasaba karibu. Wataalamu wanafikiri sasa kwamba kila kundi ni ngeli tofauti na kwa hivyo ngeli Entognatha imekwisha kukiriwa.
Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.
Wadudu mdomo-ndani ni arithropodi wadogo walio na mnasaba na wadudu wa kweli. Ngeli hii ina oda tatu: wadudu mkia-fyatuo (Collembola), wadudu mikia-miwili (Diplura) na wadudu mkia-sahili (Protura). Kama wadudu wa kweli wadudu hawa wana miguu sita lakini hawana mabawa na vipande vya mdomo viko ndani ya mfuko maalum katika kichwa. Kila pingili ya vipapasio ina misuli (kwa wadudu wa kweli pingili mbili za kwanza tu zina misuli). Madume hawaweki shahawa yao katika jike lakini huiweka katika kibumba juu ya aina ya kikonyo (spermatofori) ambacho jike hukiingiza katika ufunguzi wa uzazi wake akikubali. Majike wana kiungo cha kutaga mayai. Spishi nyingi hazina macho, lakini kuna spishi za Collembola ambazo zina macho madogo yasiyo na zaidi ya omatidio nane.
Los entognatos (Entognatha) son una clase de artrópodos ametábolos que junto con los insectos constituyen los hexápodos.[1][2] No obstante, su monofília no está clara.
Su aparato bucal es entognato, lo que significa que se retrae adentro de la cabeza. Son ápteros, es decir, carecen de alas. La clase contiene tres órdenes: colémbolos, dipluros y proturos. Estos tres grupos han sido históricamente unidos en el orden de los tisanuros para formar la clase de los apterigotos, pero se ha visto más tarde que las características parecidas de estos han evolucionado independientemente de las de los insectos e independientemente entre sí. Actualmente se considera que Entognatha es un grupo polifilético, cuyo uso está en duda.[2]
Los entognatos (Entognatha) son una clase de artrópodos ametábolos que junto con los insectos constituyen los hexápodos. No obstante, su monofília no está clara.
Su aparato bucal es entognato, lo que significa que se retrae adentro de la cabeza. Son ápteros, es decir, carecen de alas. La clase contiene tres órdenes: colémbolos, dipluros y proturos. Estos tres grupos han sido históricamente unidos en el orden de los tisanuros para formar la clase de los apterigotos, pero se ha visto más tarde que las características parecidas de estos han evolucionado independientemente de las de los insectos e independientemente entre sí. Actualmente se considera que Entognatha es un grupo polifilético, cuyo uso está en duda.