dcsimg
Unresolved name

Entognatha

Entognatha ( Interlingua (International Auxiliary Language Association) )

provided by wikipedia emerging languages

Entognatha es un classe de Hexapoda.

Nota
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Wikipedia authors and editors

Mdudu Mdomo-ndani ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Wadudu mdomo-ndani ni arithropodi wadogo walio na mnasaba na wadudu wa kweli. Ngeli hii ina oda tatu: wadudu mkia-fyatuo (Collembola), wadudu mikia-miwili (Diplura) na wadudu mkia-sahili (Protura). Kama wadudu wa kweli wadudu hawa wana miguu sita lakini hawana mabawa na vipande vya mdomo viko ndani ya mfuko maalum katika kichwa. Kila pingili ya vipapasio ina misuli (kwa wadudu wa kweli pingili mbili za kwanza tu zina misuli). Madume hawaweki shahawa yao katika jike lakini huiweka katika kibumba juu ya aina ya kikonyo (spermatofori) ambacho jike hukiingiza katika ufunguzi wa uzazi wake akikubali. Majike wana kiungo cha kutaga mayai. Spishi nyingi hazina macho, lakini kuna spishi za Collembola ambazo zina macho madogo yasiyo na zaidi ya omatidio nane.

Uainishaji

Tangu mwaka 2005 wanasayansi wameanza kushuku usahihi wa ngeli hii. Malinganisho ya ADN yanadokeza kwamba Collembola (wadudu mkia-fyatuo), Diplura (wadudu mikia-miwili) na Protura (wadudu mkia-sahili) hawana mnasaba karibu. Wataalamu wanafikiri sasa kwamba kila kundi ni ngeli tofauti na kwa hivyo ngeli Entognatha imekwisha kukiriwa.

Picha

WikiLettreMini.svg Makala hii kuhusu "Mdudu Mdomo-ndani" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili Entognatha kutoka lugha ya Kilatini. Neno (au maneno) la jaribio ni mdudu mdomo-ndani.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mdudu Mdomo-ndani: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Wadudu mdomo-ndani ni arithropodi wadogo walio na mnasaba na wadudu wa kweli. Ngeli hii ina oda tatu: wadudu mkia-fyatuo (Collembola), wadudu mikia-miwili (Diplura) na wadudu mkia-sahili (Protura). Kama wadudu wa kweli wadudu hawa wana miguu sita lakini hawana mabawa na vipande vya mdomo viko ndani ya mfuko maalum katika kichwa. Kila pingili ya vipapasio ina misuli (kwa wadudu wa kweli pingili mbili za kwanza tu zina misuli). Madume hawaweki shahawa yao katika jike lakini huiweka katika kibumba juu ya aina ya kikonyo (spermatofori) ambacho jike hukiingiza katika ufunguzi wa uzazi wake akikubali. Majike wana kiungo cha kutaga mayai. Spishi nyingi hazina macho, lakini kuna spishi za Collembola ambazo zina macho madogo yasiyo na zaidi ya omatidio nane.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Entognatha ( Spanish; Castilian )

provided by wikipedia ES

Los entognatos (Entognatha) son una clase de artrópodos ametábolos que junto con los insectos constituyen los hexápodos.[1][2]​ No obstante, su monofília no está clara.

Su aparato bucal es entognato, lo que significa que se retrae adentro de la cabeza. Son ápteros, es decir, carecen de alas. La clase contiene tres órdenes: colémbolos, dipluros y proturos. Estos tres grupos han sido históricamente unidos en el orden de los tisanuros para formar la clase de los apterigotos, pero se ha visto más tarde que las características parecidas de estos han evolucionado independientemente de las de los insectos e independientemente entre sí. Actualmente se considera que Entognatha es un grupo polifilético, cuyo uso está en duda.[2]

Referencias

  1. David A. Grimaldi & Michael S. Engel (2005). «Arthropods and the origin of insects». Evolution of the Insects. Cambridge University Press. pp. 93-118. ISBN 978-0-521-82149-0.
  2. a b P. J. Gullan, Peter Cranston (2010). «Insect systematics: phylogeny and classification». The Insects: an Outline of Entomology (4th edición). John Wiley and Sons. pp. 189-222. ISBN 978-1-4443-3036-6.

Bibliografía

  • Brusca, Richard C., and Gary J. Brusca 2002: Invertebrates, Second Edition. 936pp. Sinauer Associates, Inc. Sunderland, USA.
  • Averof M., Akam M. 1995: Insect-crustacean relationships: insights from comparative developmental and molecular studies. Philos. Trans. R. Soc. Lond. B, 347: 293-303.
  • Cameron S.L., Miller K.B., D'Haese C.A., Whiting M.F., Barker S.C. 2004: Mitochondrial genome data alone are not enough to unambiguously resolve the relationships of Entognatha, Insecta and Crustacea sensu lato (Arthropoda). Cladistics, 20: 534-557.
 title=
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Autores y editores de Wikipedia
original
visit source
partner site
wikipedia ES

Entognatha: Brief Summary ( Spanish; Castilian )

provided by wikipedia ES

Los entognatos (Entognatha) son una clase de artrópodos ametábolos que junto con los insectos constituyen los hexápodos.​​ No obstante, su monofília no está clara.

Su aparato bucal es entognato, lo que significa que se retrae adentro de la cabeza. Son ápteros, es decir, carecen de alas. La clase contiene tres órdenes: colémbolos, dipluros y proturos. Estos tres grupos han sido históricamente unidos en el orden de los tisanuros para formar la clase de los apterigotos, pero se ha visto más tarde que las características parecidas de estos han evolucionado independientemente de las de los insectos e independientemente entre sí. Actualmente se considera que Entognatha es un grupo polifilético, cuyo uso está en duda.​

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Autores y editores de Wikipedia
original
visit source
partner site
wikipedia ES