dcsimg

Mbuni (mmea) ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mibuni (Coffea spp.) ni miti au vichaka ambayo matunda yao (buni) huchomwa na kusagwa ili kutengeneza kahawa.

Spishi zinazokuzwa sana ni Mbuni Arabu (Coffea arabica) na Mbuni imara (Coffea canephora). Asili ya spishi ya kwanza ni milima ya Ethiopia na Yemen na asili ya ile ya pili ni Ethiopia.

Inaaminika kuwa asili ya kuchoma buni ni nchini Ethiopia.[1]

Picha

Marejeo

Viungo vya nje

Greentree.jpg Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mbuni (mmea) kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mbuni (mmea): Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mibuni (Coffea spp.) ni miti au vichaka ambayo matunda yao (buni) huchomwa na kusagwa ili kutengeneza kahawa.

Spishi zinazokuzwa sana ni Mbuni Arabu (Coffea arabica) na Mbuni imara (Coffea canephora). Asili ya spishi ya kwanza ni milima ya Ethiopia na Yemen na asili ya ile ya pili ni Ethiopia.

Inaaminika kuwa asili ya kuchoma buni ni nchini Ethiopia.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri