Paka-pori
(
Swahili
)
provided by wikipedia emerging languages
Paka-pori (Felis silvestris) ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Paka huyu ana usambazaji mkubwa sana na anatokea Ulaya, Afrika na Asia. Spishi hii ina nususpishi tano[1]. Nususpishi paka-kaya imefugwa kutoka paka-jangwa[2].
Nususpishi
Picha
Marejeo
-
↑ Driscoll, C., Nowell, K. (2010). "Felis silvestris". IUCN Red List of Threatened Species. Version 2011.2.. International Union for Conservation of Nature.
-
↑ Driscoll, C. A., Menotti-Raymond, M., Roca, A. L. Hupe, K., Johnson, W. E., Geffen, E., Harley, E. H., Delibes, M., Pontier, D., Kitchener, A. C., Yamaguchi, N., O’Brien, S. J., Macdonald, D. W. (2007). "The Near Eastern Origin of Cat Domestication". Science 317 (5837): 519–523. doi:10.1126/science.1139518. PMID 17600185
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni
mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu
Paka-pori kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari.
- license
- cc-by-sa-3.0
- copyright
- Waandishi wa Wikipedia na wahariri
Paka-pori: Brief Summary
(
Swahili
)
provided by wikipedia emerging languages
Usambazaji wa paka-pori
Paka-pori (Felis silvestris) ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Paka huyu ana usambazaji mkubwa sana na anatokea Ulaya, Afrika na Asia. Spishi hii ina nususpishi tano. Nususpishi paka-kaya imefugwa kutoka paka-jangwa.
- license
- cc-by-sa-3.0
- copyright
- Waandishi wa Wikipedia na wahariri